Mbonyicyambu lsrael ni mwimbaji kutoka nchi ya Rwanda, yeye anaimba nyimbo za kumuabudu na kumsifu Mungu. Mwimbaji huyu alijulukana kwa jina la lsrael Mbonyi.
Bada ya kupa wapenzi wake wimbo unayoitwa "Nita Amini" Tena ametupa wimbo uitwayo "Amenisamehe "Ni wimbo mzuri sana alitumia maneno magumu yenye akili nyingi sana.
Kijana huyu ambaye ameweka historia katika muziki wa Injili amedhamiria kutowasaliti mashabiki wake
Leo Novemba 23, 2023 Israel Mbonyi amewaachia mashabiki wake wimbo alioutengeneza kwa lugha ya kigeni uitwao “Amenisamehe” . Ni wimbo aliouchukua kutoka kwa lugha ya Kinyarwanda na kuuweka kwa Kiswahili uitwayo"Yankuyeho urubanza".
Wimbo huu una maneno:
Damu yake iliyomwagika imeshinda hukumu yote,lmeniweka huru tele ninaimba nimesamehewa Ameniwaka huru télé Ninaimba Amenisamehe.
Katika wimbo huu anaeleza umuhimu wa Damu ya Mwokozi Yesu .Yaani alipewa huru hususan alisamehewa .
Nyimbo zake lsrael Mbonyi zinapendeza sana na kujulikana nchi yetu pamoja na nje kama Nina Siri na nyingine.