Katika siku chache zilizopita mwabudu lsrael mbonye amehudhuria tamasha aliloalikwa katika Bruxelles nchini Ubelgiji.
Tamasha lilithibitishwa na Justin Karekezi ambaye anaiwakilisha kampuni ya ’Tema Production’ inayosifika kwa kualika wasanii mbalimbali lilifanyika 08 Juni 2024.
Leo, kwenye tarehe ya 17 Juni 2024 ndipo mfalme wa wimbaji nchini Rwanda katika Injili alitoa wimbo mpya unaoitwa " Yeriko ". Ni wimbo unaoundwa na lugha mbili ya kwanza ni kiswahili ya pili ni kinyarwanda.
Anaanza kwa kuimba : Tumekuwa na muda tukiomba , tukikuomba uyatimize,.. Asante..
Asante Bwana kuyatoa yaliotulemea,..
Sasa tazama milango yote imefunguka,..
Asante ..Asante Bwana kuyatoa yaliotulemea,..
Njooni mtazame Yeriko ,Kuta zinaanguka
Shangilieni, lmbeni kwa Shangwe, Hizo zaanguka, Twaingia kwa Sifa, Ndani ya agano,Kuta zaanguka.Muze murebe Yeriko ,inkike ziraguye,ngizo ziraguye mutere hejuru muririmbe,ngizo ziraguye twinjiranye amashimwe mu masezerano".
Wimbo huu mpya umekuja baada ya kutoa Wimbo unaoitwa " Sikiliza" . Ni Wimbo mzuri wa lsrael Mbonyi . Yeriko ni wimbo mzuri ndani ya siku moja wimbo huu tayari umepata maoni 77,368( Views).Israel Mbonyi alikuwa mwimbaji wa kwanza nchini Rwanda aliyekamilisha wafuasi elfu mia tanu 500.
lsrael alihudhuria tamasha katika Ubelgiji